Breaking News:

Top Ad

//

RAIS AAGIZA KUSIMAMISHWA KAZI KWA NAIBU KAMISHNA WA UHAMIAJI



Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akisalimiana na Makamishna Uhamiaji, mara baada ya kuwasili Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini, Temeke alipotembelea Idara hiyo leo mchana.
PMO_6104
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akiongea na Makamishna mbalimbali wa Uhamiaji ndani ya Ukumbi wa Mikutano wa  Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini, Temeke alipotembelea Idara hiyo leo mchana
PMO_6113
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akiongea na Makamishna mbalimbali wa Uhamiaji ndani ya Ukumbi wa Mikutano wa  Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini, Temeke alipotembelea Idara hiyo leo mchana.
PMO_6127
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akitoa maelekezo kwa  Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Peter Makakala wakati wa ziara yake alipotembelea Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini, Temeke leo mchana wanaosikiliza ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara yake, Meja Jenerali Projest Rwegasira;  Kamishna wa Pasipoti na Uraia, Gerald Kihinga na Mkurugenzi Mkuu Idara ya Wakimbizi,Harrison Mseke.
PMO_6138
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akitoa maelekezo kwa  Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Peter Makakala wakati wa ziara yake alipotembelea Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini, Temeke leo mchana wanaosikiliza ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara yake, Meja Jenerali Projest Rwegasira;  Kamishna wa Pasipoti na Uraia, Gerald Kihinga na Mkurugenzi Mkuu Idara ya Wakimbizi,Harrison Mseke.
PMO_6146
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi pamoja na Menejimenti ya Idara ya Uhamiaji alipotembelea  Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini, Temeke leo mchana.
PMO_6148
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akimwelekeza jambo Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Peter Makakala wakati wa ziara yake alipotembelea Makao Makuu ya Uhamiaji, Kurasini, Temeke leo mchana. Nyuma kushoto ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara yake, Meja Jenerali Projest Rwegasira

Post a Comment

0 Comments